
CRDB Bank Foundation
@crdbbankfoundation
Carousel (19 items)
Taasisi yetu ya CRDB Bank Foundation kwa ushirikiano na Mbunge wa Viti Maalumu ambaye ni Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa wa Dodoma, Mheshimiwa Dkt. Neema Majule, imetenga zaidi ya shilingi bilioni 1 kwa ajili ya kuwawezesha vijana na wanawake wajasiriamali pamoja na makundi maalumu mkoani Dodoma. Akikabidhi mfano wa hundi wa mikopo hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wetu wa CRDB Bank Foundation, TullyEsther Mwambapa amesema tangu ushirikiano huo ulipoanza mapema Februari, tayari wamefika kwenye kata zote 209 za Mkoa wa Dodoma ambako zaidi ya wajasiriamali 5,300 kutoka vikundi 50 wamefikiwa na kupewa elimu ya fedha. Kati ya vikundi 50 tulivyovifikia, vikundi 16 vimekidhi vigezo vya kupewa mkopo vikiwahusisha wanachama 80 ambao tayari wameidhinishiwa zaidi ya shilingi milioni 113.975. Licha ya uwezeshaji huo wa fedh ataslimu kwa ajili ya kukuza biashara za wajasiriamali waliokidhi vigezo, Taasisi pia imekabidhi vitimwendo 25 kwa Taasisi RhemaEduction Foundation inayoongozwa na Mheshimiwa Dkt. Majule. Mheshimiwa Dkt. Neema Majule ameishukuru CRDB Bank Foundation kwa umakini iliouonyesh akwa kipindi chote cha kuzunguka katika kata zote 209 za Mkoa wa Dodoma na kuzungumza na wajasiriamali akisema wamekutana na watu wenye nia ya kukuza biashara zao.
Likes
Diagramm
Gesponsert
Performance
79
Current Likes
—
Since Page Load
+0
Per Minute
+0
Per Hour
0.35%
Engagement Rate
2.53%
Comment Rate
Performance monitor
Next Likes Milestone
90.00%
0
0
0
0
Post-Details
Caption
Taasisi yetu ya CRDB Bank Foundation kwa ushirikiano na Mbunge wa Viti Maalumu ambaye ni Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa wa Dodoma, Mheshimiwa Dkt. Neema Majule, imetenga zaidi ya shilingi bilioni 1 kwa ajili ya kuwawezesha vijana na wanawake wajasiriamali pamoja na makundi maalumu mkoani Dodoma. Akikabidhi mfano wa hundi wa mikopo hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wetu wa CRDB Bank Foundation, TullyEsther Mwambapa amesema tangu ushirikiano huo ulipoanza mapema Februari, tayari wamefika kwenye kata zote 209 za Mkoa wa Dodoma ambako zaidi ya wajasiriamali 5,300 kutoka vikundi 50 wamefikiwa na kupewa elimu ya fedha. Kati ya vikundi 50 tulivyovifikia, vikundi 16 vimekidhi vigezo vya kupewa mkopo vikiwahusisha wanachama 80 ambao tayari wameidhinishiwa zaidi ya shilingi milioni 113.975. Licha ya uwezeshaji huo wa fedh ataslimu kwa ajili ya kukuza biashara za wajasiriamali waliokidhi vigezo, Taasisi pia imekabidhi vitimwendo 25 kwa Taasisi RhemaEduction Foundation inayoongozwa na Mheshimiwa Dkt. Majule. Mheshimiwa Dkt. Neema Majule ameishukuru CRDB Bank Foundation kwa umakini iliouonyesh akwa kipindi chote cha kuzunguka katika kata zote 209 za Mkoa wa Dodoma na kuzungumza na wajasiriamali akisema wamekutana na watu wenye nia ya kukuza biashara zao.
Veröffentlicht
April 14, 2026, 01:18 PM
Dimensions
1080 × 719
Unique Commenters
2
Post ID
3875139807114722298
Mehr Posts von @crdbbankfoundation
Anderen Post tracken
Paste an Instagram post or reel URL to view its live counters
Diesen Post im Sponsored-Bereich platzieren
Reach 100,000+ daily Instagram enthusiasts with your post displayed to real users browsing our site every day.
How to Track a Post or Reel
1
Open Instagram
Open the Instagram app or website and navigate to the post or reel you want to track.
2
Copy the Link
Tap the share button (paper plane icon) or the three dots (...) menu and select "Copy link".
3
Paste Here
Paste the copied URL into the search box above and click "Go". That's it!
4
Watch Live
See views, likes, comments, and shares update in real-time every 5 seconds.
Trending
Frequently Asked Questions
© 2016-2026 Instastatistics LLC
Public statistical data shown on this website is sourced from third-party services and public endpoints. Instagram does not control, approve, or endorse how this data is presented on Instastatistics.
The name "Instagram" is used for contextual and descriptive purposes only. Instastatistics is not affiliated with, endorsed by, or sponsored by Instagram or Meta Platforms, Inc.
Quick Links