TBC DIGITAL

TBC DIGITAL

@tbc_online

Follower-Zähler
Aufrufzähler

Carousel (4 items)

Mke wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), na Mbunge wa Isimani, William Lukuvi, Germina Lukuvi, ametoa salamu za shukrani kwa serikali na Rais Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya familia ya Lukuvi, kwa kufanikisha mazishi ya kitaifa ya mumewe aliyefariki dunia Machi 25, 2026. Katika salamu hizo za shukrani, familia hiyo imeelekeza shukrani za dhati kwa viongozi wote wa dini walioshiriki kuongoza Ibada za Misa Takatifu kuanzia Dodoma, Dar es Salaam, Iringa Mjini, na Idodi, bila kuwasahau viongozi wa kimila wakiongozwa na Chifu wa Wahehe, Mtwa Adam Abdul Adam Sapi Mkwakwa. Aidha, Germina amewashukuru wote walioonyesha ushirikiano wakati familia hiyo ikipitia kipindi hicho kigumu, ikiwemo wake wa viongozi (Millenium Group), madaktari na wauguzi, vyombo vya habari, wananchi wa jimbo la Isimani, na wananchi wote wa Tanzania.

434

Likes

The aufrufe count is showing 0 because the owner may have restricted visibility or made counts private.

Diagramm

Performance

Posted Apr 14, 2026

434

Current Likes

Since Page Load

+0

Per Minute

+0

Per Hour

0.02%

Engagement Rate

1.61%

Comment Rate

Performance monitor

Next Likes Milestone

400

34.00%

434
500

0

Days

0

Hours

0

Minutes

0

Seconds
Loading ad...

Post-Details

Carousel (4 slides)

Caption

Mke wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), na Mbunge wa Isimani, William Lukuvi, Germina Lukuvi, ametoa salamu za shukrani kwa serikali na Rais Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya familia ya Lukuvi, kwa kufanikisha mazishi ya kitaifa ya mumewe aliyefariki dunia Machi 25, 2026. Katika salamu hizo za shukrani, familia hiyo imeelekeza shukrani za dhati kwa viongozi wote wa dini walioshiriki kuongoza Ibada za Misa Takatifu kuanzia Dodoma, Dar es Salaam, Iringa Mjini, na Idodi, bila kuwasahau viongozi wa kimila wakiongozwa na Chifu wa Wahehe, Mtwa Adam Abdul Adam Sapi Mkwakwa. Aidha, Germina amewashukuru wote walioonyesha ushirikiano wakati familia hiyo ikipitia kipindi hicho kigumu, ikiwemo wake wa viongozi (Millenium Group), madaktari na wauguzi, vyombo vya habari, wananchi wa jimbo la Isimani, na wananchi wote wa Tanzania.

Veröffentlicht

April 14, 2026, 05:46 PM

Dimensions

1080 × 1350

Unique Commenters

6

Post ID

3875274664901956176

Mehr Posts von @tbc_online

Loading ad...

Anderen Post tracken

Paste an Instagram post or reel URL to view its live counters

Diesen Post im Sponsored-Bereich platzieren

Reach 100,000+ daily Instagram enthusiasts with your post displayed to real users browsing our site every day.

Hervorheben

How to Track a Post or Reel

1

Open Instagram

Open the Instagram app or website and navigate to the post or reel you want to track.

2

Copy the Link

Tap the share button (paper plane icon) or the three dots (...) menu and select "Copy link".

3

Paste Here

Paste the copied URL into the search box above and click "Go". That's it!

4

Watch Live

See views, likes, comments, and shares update in real-time every 5 seconds.

Frequently Asked Questions

© 2016-2026 Instastatistics LLC

Public statistical data shown on this website is sourced from third-party services and public endpoints. Instagram does not control, approve, or endorse how this data is presented on Instastatistics.

The name "Instagram" is used for contextual and descriptive purposes only. Instastatistics is not affiliated with, endorsed by, or sponsored by Instagram or Meta Platforms, Inc.

Quick Links

Terms of ServicePrivacy Policy